KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, April 8, 2011

OBREN AREJEA BONGO KIAINA!

KIPA wa zamani wa Yanga, Obren Curkovic akiwa ameketi kwenye jukwaa la Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam pamoja na baadhi ya mashabiki wakati wa mechi ya ligi kuu ya Tanzania Bara kati ya Azam na Polisi, iliyochezwa juzi. Kuna habari kuwa, Obren huenda akasajiliwa na Azam katika msimu ujao wa ligi kuu.

No comments:

Post a Comment