KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, April 28, 2011

Jahazi yapakua albamu mpya

KIONGOZI wa kundi la muziki wa taarab la Jahazi, Mzee Yusuf (katikati) akiimba sanjari na waimbaji wengine wa kundi hilo wakati wa uzinduzi wa albamu yao mpya uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye ukumbi wa hoteli ya Travertine, Magomeni, Dar es Salaam. Katika onyesho hilo, waimbaji Leila Rashid na Isha Mashauzi hawakuwepo kufuatia kusimamishwa kazi kwa makosa ya utovu wa nidhamu.


No comments:

Post a Comment