KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, February 10, 2011

Judith Gamba kazini

Mwamuzi Judith Gamba (katikati) kutoka Arusha akiwapa onyo kwa maneno wachezaji wa timu za JKT Ruvu na African Lyon baada ya kuonyeshana ubabe, wakati timu hizo zilipomenyana mwanzoni mwa wiki hii katika mechi ya ligi kuu ya Tanzania Bara, iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Lyon ilishinda mabao 2-1.

No comments:

Post a Comment