KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, October 30, 2014

MBEYA CITY YAINGIA MKATABA WA KIBIASHARA NA BENKI YA POSTA




MKATABA WA KIBIASHARA
Leo tarehe 30.Oct.2014, Mbeya City Fc inasaini mkataba wa makubaliano ya kibiashara na Benki ya Posta Tanzania (TPB).

Huu ni mkataba wa kibiashara (siyo udhamini) kwa maana kuwa kupitia kadi za ATM ambazo mashabikiwa Mbeya City Fc watapewa baada ya kufungua ‘akaunti’ wataweza kuichangia timu kupitia huduma za kibenki watakazokuwa wakizifanya kwa kutumia akaunti zao.

Mkataba huu pia utaifanya club kufahamu idadi ya mashabiki iliyonao nchini kote.

DISMAS TEN
AFISA HABARI NA MAWASILIANO
MBEYA CITY COUNCIL FC.

No comments:

Post a Comment