KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Sunday, September 14, 2014

WAREMBO 30 WA MISS TANZANIA 2014 WAINGIA KAMBINI

Wanyange 30 watakaowania taji la Redd's Miss Tanzania 2014, wameingia kambini leo kwenye hoteli ya JB Belmint iliyoko katikati ya Jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa kwa shindano hilo.


Warembo hao waliwasili kwenye hoteli hiyo kwa nyakati tofauti, kuanzia saa 12 jioni na kupokewa na waandaaji wa shindano hilo.



No comments:

Post a Comment