KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, November 3, 2014

ONYESHO LA MIAKA 50 YA MSONDO NGOMA LAFANA DAR



 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante Ole Gabriel (kushoto) akimkabidhi cheti cha heshima kwa kiongozi wa bendi ya Msondo Ngoma, Said Mabela.
 Kiongozi wa Msondo Ngoma, Saidi Mabela akionyesha umahiri wake wa kupiga gita la solo
 Rapa maarufu wa Msondo Ngoma, Roman Mng'ande akifanya vitu vyake
 Waimbaji wa Msondo Ngoma wakiwajibika jukwaani. Kutoka kushoto ni Athumani Kambi, Shabani Dede na Juma Katundu.
Mmoja wa wanamuziki waanzilishi wa Msondo Ngoma, Kepteni mstaafu, John Simon (katikati) akielezea historia ya bendi hiyo wakati wa onyesho hilo.

No comments:

Post a Comment