KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Tuesday, July 7, 2015

DR. TWAHA MWENYEKITI MPYA COASTAL UNION


Uchaguzi uliofanyika jana tarehe 5/7/2015 matokeo yalikuwa kama ifuatavyo:

1.MWENYEKITI:
 Jumla ya wapiga kura 207.
Kura zilizopigwa  205.
Kura zilizo haribika  2.

Ahmed Ally Twaha -192
Steven Mnguto  11.

2.MAKAMU MWENYEKITI:
Jumla ya wapiga kura 207.
Kura zilizopigwa 203.
kura zilizoharibika- 4

Salim Amir-
Kura za NDIYO-193
Kura za HAPANA- 9.

3.WAJUMBE KAMATI YA UTENDAJI.
Waliochaguliwa na kura zao:

1.Hassan Omary Bwana-190.
2.Hassan Ramadhan Muhsin-190.
3.Abdallah ZubeiryAlly-188.
4.Hussein Ally Mwinyi Hamis-185
5.Aggrey Ally Mbapu-179.
6.Mohamed Rajabu-179.
7.Omary Hassan Mwambashi -144.
8.Waziri Mohamed-31.
Kwa kuwa walikuwa wanatakiwa wajumbe saba tu kwa hiyo wajumbe walioshinda ni kuanzia  moja mpaka saba.

Kwa kawaida uchaguzi ulifanyika kwa utulivu ukiacha vurugu za hapa na palele wakati wa kuingia ukumbini.

Kesho siku ya jumatano saa 5 kamili asubuhi kocha mkuu wa timu wa Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Mkwasa ataongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano wa TFF uliopo Karume.

Waandishi wote wa habari mnaombwa kuhudhuria bila kukosa.

No comments:

Post a Comment