KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, November 30, 2011

MAVITUZ YA TWANGA PEPETA LONDON





MWIMBAJI wa bendi ya muziki wa dansi ya Twanga Pepeta International, Hamisi Amigolas akicheza huku akiwa amembeba mcheza shoo wa bendi hiyo, Tina Mjapan wakati wa onyesho lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita mjini London, Uingereza.Juu ni mcheza shoo huyo akifanya mavituz. (Picha kwa hisani ya blogu ya Freddy Macha)

1 comment: