KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, November 9, 2011

TWANGA PEPETA KIBARUANI



WANAMUZIKI wa bendi ya muziki wa dansi ya Twanga Pepeta International, wakilishambulia jukwaa wakati wa uzinduzi wa albamu yake mpya ya Dunia Daraja uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye viwanja vya Leaders, Kinondoni, Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment