KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Wednesday, November 23, 2011

GOFU KUSAIDIA WAGONJWA WA MACHO



Benki ya NIC Tanzania kwa kushirikiana na klabu ya Lions ya Dar es Salaam, imejitokeza kudhamini mashindano ya mchezo ya gofu kwa lengo la kusaidia watu wenye matatizo ya macho. Katika mashindano hayo, benki hiyo imetoa jumla ya dola za Kimarekani 2,000 (sawa na sh. milioni 3.5 za Tanzania) kwa lengo la kuinua afya za wananchi, hasa wanaosumbuliwa na matatizo ya macho.Pichani, Mkurugenzi na Mtendaji Mkuu wa NIC Tanzania, James Muchiri (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Meneja Mikopo wa benki hiyo, Regina Mwengi, Prisalla Karobia na David Muthungu kabla ya kuanza kwa michuano hiyo iliyofanyika juzi kwenye viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam.

1 comment:

  1. KAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.

    KAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.


    KAMI SEKELUARGA MENGUCAPKAN BANYAK TERIMA KASIH ATAS BANTUANNYA MBAH , NOMOR YANG MBAH BERIKAN/ 4D SGP& HK SAYA DAPAT (350) JUTA ALHAMDULILLAH TEMBUS, SELURUH HUTANG2 SAYA SUDAH SAYA LUNAS DAN KAMI BISAH USAHA LAGI. JIKA ANDA INGIN SEPERTI SAYA HUB MBAH_PURO _085_342_734_904_ terima kasih.


    ReplyDelete