KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, August 3, 2012

STARS KUIKABILI BOTSWANA AGOSTI 15

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Agosti 15 mwaka
huu itapambana na Botswana (Zebras) katika mchezo
maalumu wa Kalenda ya FIFA utakaofanyika jijini
Gaborone.
Tayari Kocha Kim Poulsen alishatangaza kikosi cha
wachezaji 21 kitakachoingia kambini Agosti 8 mwaka huu
tayari kwa mechi hiyo ya kirafiki ya kujipima nguvu.

No comments:

Post a Comment