KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, August 3, 2012

VIMBWANGA VYA OLIMPIKI

Lahaula! Mchezaji wa timu ya mpira wa mikono ya Angola akimkaba koo mchezaji wa Uingereza wakati wa mechi ya michuano ya Olimpiki

Huu ndio uwanja wa Olimpiki wa London, ambao umeigharimu serikali ya Uingereza mabilioni ya pesa.

Wachezaji wa mpira wa wavu wa ufukweni wakipongezana wakati wa mechi yao dhidi ya Russia


Maria Sharapova wa Russia akishangilia ushindi alioupata katika mechi yake ya leo

No comments:

Post a Comment