KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, August 6, 2012

USAIN BOLT AWEKA REKODI MPYA YA OLIMPIKI





Mwanariadha Usain Bolt leo amevunja rekodi yake ya Olimpiki na kuweka rekodi mpya baada ya kushinda mbio za mita 100 katika Michezo ya Olimpiki inayoendelea mjini London, Uingereza.

Bolt, ambaye ni raia wa Jamaica, alishinda mbio hizo na kupata medali ya dhahabu baada ya kukimbia kwa sekunde 9.63 akiipiku rekodi yake aliyoiweka miaka minne iliyopita mjini Beijing, China kwa sekunde 0.06.

No comments:

Post a Comment