KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Tuesday, August 7, 2012

AZAM YAMTAMBULISHA KOCHA WAKE MPYA



Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Azam, Said Mohammed (kushoto), akimtambulisha kwa waandishi wa habari, kocha mpya wa timu hiyo, Boris Bunjak kutoka Serbia katika mkutano uliofanyika leo kwenye ofisi za Azam mjini Dar es Salaam. (Picha na Emmanuel Ndege wa blogu ya liwazozito)


No comments:

Post a Comment