KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, August 6, 2012

YANGA YAPELEKA KOMBE BUNGENI

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa na wachezaji na viongozi wa klabu ya Yanga mara baada ya timu hiyo kuyambulishwa bungeni mjini Dodoma leo. Wengine pichani ni mdhamini mkuu wa klabu hiyo, Mama Fatuma Karume, mjumbe wa bodi ya udhamini, George Mkuchika na Kocha Mkuu, Tom Saintfielt.

No comments:

Post a Comment