KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, August 6, 2012

MUETHIOPIA ASHINDA MBIO ZA MARATHONI ZA OLIMPIKI

Mwanariadha Tiki Galana wa Ethiopia leo ameibuka mshindi wa mbio za marathoni kwa wanawake katika michezo ya Olimpiki inayoendelea mjini London, Uingereza.

Tiki alishinda mbio hizo kwa kutumia saa 2:23:07, ikiwa ni rekodi ya Olimpiki, akifuatiwa na Priscah Jeptoo wa Kenya na Tatyana Petrova wa Russia.

No comments:

Post a Comment