KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, August 3, 2012

MICHUANO YA BANCABC ILIVYOZINDULIWA RASMI DAR

Mkurugenzi Mtendaji wa Muunganiko wa Makampuni ya BancABC, Douglas Munatsi (kulia) akimkabidhi Makamu wa kwanza wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF), Athuman Nyamlani kwa ajili ya mashindano ya BancABC SUP8R wakati wa uzinduzi rasmi wa mashindano hayo na kuchezeshwa kwa Droo maalum ya kupanga ratiba kamili ya michuano,uliofanyika jijini Dar es Salaam.


Uongozi wa BancABC na TFF wakiwa wameshikira Kombe kuashira Baraka njema na kutakia mashindano mema ya BancABC SUP8R .Kutoka Kulia ni Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Hoseah,Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF), Athuman Nyamlani,Mkurugenzi Mtendaji wa BancABC Nchini,Boniphace Nyoni na Mkurugenzi Mtendaji wa Muunganiko wa Makampuni ya BancABC, Douglas Munatsi.

Picha ya Pamoja ya Uongozi wa BancABC,Mabalozi wa BancABC kutoka Kampuni ya Integreted Comminications na Kombe

No comments:

Post a Comment