KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, April 9, 2012

MAMA SALMA KIKWETE ATOA POLE KWA MAMA KANUMBA

MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete akitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha msanii nguli wa filamu nchini, Steven Kanumba nyumbani kwa msanii huyo Sinza, Dar es Salaam.


MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete akikumbatiana na mama mzazi wa msanii nyota wa filamu nchini, Steven Kanumba alipokwenda kumpa pole mama wa msanii huyo nyumbani kwake Sinza, Dar es Salaam.

MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete akiwa na mama mzazi wa msanii nyota wa filamu nchini, Steven Kanumba alipokwenda nyumbani kwa msanii huyo kumpa pole.

No comments:

Post a Comment