KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Friday, March 25, 2011

UCHEZAJI GANI HUU YARABII!


LICHA ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kupiga marufuku wacheza shoo wa bendi za muziki wa dansi kucheza nusu uchi, amri hiyo inaelekea kukiukwa ama kutokuwa na makali yoyote. Pichani mcheza shoo wa bendi ya Msondo Ngoma akiselebuka stejini wakati bendi hiyo ilipokuwa ikipambana na Mlimani Park kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam wiki iliyopita. Viongozi wa BASATA mpo? Kazi kwenu. (Picha na Mohamed Issa wa Uhuru)

No comments:

Post a Comment