KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Thursday, March 1, 2012

MSONDO YAIPIGA BAO SIKINDE


Bendi ya muziki wa dansi ya Msongo Ngoma imewapiga bao mahasimu wao, Mlimani Park Orchestra ‘Sikinde’ baada ya kumnyakua mpuliza saxophone wao, Shabani Lendi. Msondo ilitangaza kumrejesha Lendi jana katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ukumbi wa Amana, Ilala, Dar es Salaam. Pichani, kiongozi wa Msondo, Saidi Mabela (kulia) akimkabidhi Lendi (kushoto) saxophone kwa ajili ya kuanza kazi. Katikati ni meneja wa Msondo, Saidi Kibiriti. (Picha na Emmanuel Ndege).

No comments:

Post a Comment