KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Sunday, August 31, 2014

YANGA SC YAUNDA KAMATI ZA SHERIA, MAADILI, NIDHAMU NA UCHAGUZI




TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

MWANASHERIA Sam Mapande, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya YANGA –(Utawala Bora)
anapenda kutoa taarifa kupitia vyombo vya habari kwa wana YANGA, ameunda Kamati ndogo chini ya
Kamati ya Utendaji wa YANGA zifuatazo:

1) KAMATI YA MAADILI
Wajumbe:
1) Fimbo, Mgongo Prof. (Advocate)
2) Kabudi, Mpalamaganda Prof. (Advocate)
3) Njaa, Salehe Ramadhani (Advocate)
4) Rashidi, Tausi Abdallah (Advocate)
5) Tenga, Cathbert (Advocate)

2) KAMATI YA NIDHAMU
Wajumbe:
1) Karua, Tedy
2) Lamlembe, Roger
3) Kihanga, Pascal
4) Mahenge, Burton Yesaya
5) Mudhihir, Mudhihir (Advocate)

3) KAMATI YA SHERIA NA KATIBA
Wajumbe:
1) Fimbo, Mgongo Prof. (Advocate)
2) Gikas, Farija (Advocate)
3) Kabisa, Jessica (Advocate)
4) Kabudi, Mpalamaganda Prof. (Advocate)
5) Kambamwene, January (Advocate)
6) Lupogo, Herman (Advocate)
7) Madibi, Richard (Advocate)
8) Mahenge, Burton Yesaya
9) Mgongolwa, Alex (Advocate)
10) Mkucha, Elisha (Advocate)
11) Mudhihir, Mudhihir (Advocate)
12) Njaa, Salehe Ramadhani (Advocate)
13) Rashidi, Tausi Abdallah (Advocate)
14) Tenga, Cathbert (Advocate)
15) Tenga, Ringo Dr. (Advocate)
16) Vedasto, Audax (Advocate

4) KAMATI YA UCHAGUZI
Wajumbe:
1) Kajole, Mustafa
2) Lundenga, Hashim Ibrahim
3) Makele, Bakili
4) Mlelwa, Daniel
5) Ngongolwa, Alex (Advocate)

Ifahamike kwamba, kutakuwa na nyongeza ya uteuzi wa Wajumbe wengine wa Kamati za YANGA
zilizotajwa hapo juu.

Mwanasheria Sam Mapande, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya YANGA – (Utawala Bora) atakuwa
Mwenyekiti wa Kamati zilizotajwa hapo juu.

Kamati ya Utendaji ya YANGA, ina karibisha Wajumbe waliotajwa katika Kamati zilizotajwa hapo juu
kwa dhamira njema kuwa watasaidia kujenga YANGA bora, na wanaomba ushirikiano kutoka kwa
wanaYanga wote ili Wajumbe walioteuliwa waweze kutenda kazi zao vyema kwa manufaa ya YANGA.

(YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO)
(BENO NJOVU)
KATIBU MKUU WA YANGA.

No comments:

Post a Comment