KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Saturday, October 10, 2015

TWALIB AMWAGA MIPIRA 100 YA UFUKWENI



Kocha wa timu ya Taifa ya Oman ya Soka la Ufukweni (Beach Soccer), Twalib Hilal jana ametoa msaada wa mipira 10 kwa ajii ya mchezo wa soka la ufukweni ambao umeanza kuwa maarufu nchni.

Twalib ambaye ni kocha na Mkufunzi wa FIFA wa soka la ufukweni alikabidhi mipira hiyo kwa Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine ikiwa ni sehemu ya mchango wake kwa maendeleo ya mchezo huo.

Kesho Jumamos tarehe 10 Oktoba, 2015 kocha Twalib atakutana na makocha, waamuzi wa mchezo wa ufukweni waliopo jijii Dar es salaam ili kubadilishana uzoefu saa 5 kamili asubuhi katika ukumbi wa mikutano wa TFF uliopo Karume.

No comments:

Post a Comment