KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL rashidzahor67@gmail.com '

Monday, August 16, 2010

Warembo wa Miss Tanzania waripoti kambini

WASHIRIKI wa shindano la mwaka huu la kumtafuta mrembo wa Tanzania wakiwa kwenye basi tayari kwa kwenda kambini kwenye hoteli ya Girraffe mjini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment