Friday, August 3, 2012

NGASA ALIVYOANZA MAZOEZI SIMBA LEO

Mrisho Ngasa akiteta jambo na Uhuru Selemani wakati wa mazoezi yaliyofanyika leo kwenye ufukwe wa Coco Beach

Mrisho Ngasa akijaribu kumtoka Amri Kihemba wakati wa mazoezi yaliyofanyika leo Coco Beach

No comments:

Post a Comment