Thursday, August 3, 2017

SIMBA YACHAPWA 1-0 NA ORLANDO PIRATES MECHI YA KIMATAIFA YA KIRAFIKI



Simba imechapwa kwa bao 1-0 katika mechi yake ya kwanza ya kirafiki baada ya maandalizi ya msimu wa 2017-18.

Simba imelala kwa bao 1-0 dhidi ya wenyeji wake Orlando Pirates katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Orlando jijini Johannesburg, Afrika Kusini.

No comments:

Post a Comment