Monday, August 7, 2017

NIYONZIMA AANZA RASMI MAZOEZI SIMBA

MSHAMBULIAJI mpya wa klabu ya Simba, Haruna Niyonzima (kushoto) akizungumza na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Joseph Omog wakati wa mazoezi yaliyofanyika leo kwenye uwanja wa Bunju, ulioko nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment