Thursday, December 31, 2015

SERIKALI YAMFAGILIA MBWANA SAMATTA

Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye(kushoto) akiongea na Mchezaji wa Timu ya TP Mazembe Mbwana Samatta(kulia)  jijini Dar es salaam.Mbwana  amemtembelea waziri Nape ofisini kwake na kuomba baraka za wizara katika kinyanganyiro cha kugombea uchezaji bora wa Afrika anayechezea ligi za ndani  na pia kumpa habari njema za yeye kutegemea kujiunga na timu ya Ubelgiji ya Genk.

No comments:

Post a Comment