Saturday, November 21, 2015

PICHA YA KIHISTORIA KWA WATANZANIA, HAIJAWAHI KUTOKEA NA HAITAKUJA KUTOKEA AFRIKA

RAIS John Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na marais wastaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi; wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete

No comments:

Post a Comment