Saturday, September 26, 2015

KING MAJUTO, SUNDAY MANARA WAKUTANA MAKKA

MSANII nyota wa filamu na maigizo nchini, Amri Athumani 'King Majuto' akiwa na mwanasoka nyota wa zamani wa klabu ya Yanga na timu ya Taifa, Taifa Stars, Sunday Manara walipokutana katika mji wa Makka wakati wa ibada ya Hijja.

No comments:

Post a Comment