Tuesday, July 8, 2014

DK BILAL, MZEE MWINYI WATEMBELEA GYM YA AZAM


Mkurugenzi wa Makampuni ya SSB, Said Mohamed, (wa pili kulia) akitoa maelezo kwa

viongozi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, wakati walipokuwa
wakitembelea kujionea Uwanja na Gym ya mazoezi ya timu ya Azam FC iliyopo kwenye
Uwanja wa Azam Complex, unaomilikiwa na timu ya hiyo, Chamazi.

No comments:

Post a Comment