Friday, June 7, 2013

M 2 THE P AZURU KABURI LA MANGWEA

Hili ndilo kaburi la msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya, marehemu Albert Mangwea aliyezikwa jana nyumbani kwao, Kihonda mkoani Morogoro.

Swahiba mkubwa wa marehemu Mangwea, msanii M 2 THE P akiuaga mwili wa mwenzake kabla ya kuzikwa jana. M 2 THE P alisafiri na Mangwea kwenda Afrika Kusini na alikuwa pamoja na marehemu muda mfupi kabla ya kifo chake.

No comments:

Post a Comment