Kamanda wa Polisi Kanda Maalum, Seleman Kova akidaka mpira ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa michuano ya Mpinga Cup inayowahusisha waendesha pikipiki maarufu kama Bodabado inayoanza rasmi leo kwa muda wa wiki moja. Mpinga cup imedhaminiwa na Airtel , Rotary Club, Mr price na Shoprite ikiwa na lengo la kutoa elimu ya usalama barabarani kwa waendesha pikipiki na kupunguza ajali barabarani . akishuhudia. Kushoto ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama barabarani SACP. Mohamed Mpinga
Mkuu wa kikosi cha Usalama barabarani SACP. Mohamed Mpinga akikagua timu kabla ya mechi kati ya Kawe Tiptop na Manzese leo wakati wa uzinduzi wa michuano ya Mpinga Cup, anayefata pichani ni Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando
No comments:
Post a Comment