Sunday, September 23, 2012

EDDA ATWAA TAJI LA MISS TEMEKE 2012

Malkia wa Redd's Miss Tameke 2012, Edda Sylvester (katikati), akiwa na mshindi wa pili Flavian Maeda (kushoto) na Catherine Masumbigana aliyeshika nafasi ya tatu katika kilele cha mashindano hayo, Ukumbi wa PTA Sabasaba, Dar es Salaam jana usiku.

No comments:

Post a Comment