Thursday, August 30, 2012

REAL MADRID BINGWA KOMBE LA MFALME HISPANIA

Hiki ndicho kikosi cha Real Madrid kilichotwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Mfalme la Hispania jana usiku baada ya kuichapa Barcelona mabao 2-1 na kuibuka na ushindi wa jumla kwa faida ya bao la ugenini baada ya kuchapwa mabao 3-2 katika mechi ya awali wiki iliyopita.


No comments:

Post a Comment