Thursday, August 9, 2012

MSANII ANAPOMWAGA CHOZI

Msanii wa filamu Mohamed Nice 'Mtunisi' akilia kwa uchungu baada ya kukuta kazi feki zikiuzwa kwenye moja ya maduka ya mtaa wa Magila na Likoma, Kariakoo mjini Dar es Salaam juzi. (Na mpiga picha wetu)

No comments:

Post a Comment