Tuesday, April 3, 2012

Liwazo Zito yawania tuzo ya blogu bora TZ

Wapenzi wasomaji wa blogu hii ya liwazozito, napenda kuwafahamisha kuwa, blogu yenu hii muipendayo itashiriki kuwania tuzo za blogu bora Tanzania mwaka huu. Shindano hilo limeanza Aprili Mosi mwaka huu na litaendelea hadi Mei 31 mwaka huu. Nawaomba muipendekeze blogu hii kuingia kwenye shindano hilo, hasa katika vipengele vya sports na entertainment kama ilivyo blogu yenyewe. Ipigie kura kupitia mtandao wa: www.tanzaniablogawards.com

No comments:

Post a Comment