Thursday, March 1, 2012

Uhuru SC yajifua kwa Kombe la NSSF



WACHEZAJI wa timu ya soka ya Uhuru wakiwa mazoezini kwenye uwanja wa shule ya msingi ya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya Kombe la NSSF inayotarajiwa kuanza Machi 10 mwaka huu.

No comments:

Post a Comment