LIWAZO ZITO BLOG

Thursday, March 8, 2012

MAKABIDHIANO YA VIFAA VYA MICHEZO NSSF




MENEJA Kiongozi Idara ya Uhusiano na Huduma za Wateja wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume (wa pili kulia) akikabidhi jezi kwa mwakilishi wa timu ya soka ya Uhuru, Gule Mandago (kushoto) katika halfa iliyofanyika jana kwenye hoteli ya JB Belmont, Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Kombe la NSSF, Rashid Zahor na wa tatu kushoto ni mratibu wa mashindano hayo kutoka NSSF, Juma Kintu. (Picha na Emmanuel Ndege).











Ramoza at 4:39 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

My photo
Ramoza
My name is Mohamed Rashid Zahor, I was born in 1967 in Tabora Region, I'm freelance journalist.
View my complete profile
Powered by Blogger.