Thursday, January 5, 2012

PROFESA JAY AKIFANYA MAVITU



MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Joseph Haule (Profesa Jay- kulia) akicheza na shabiki wake wakati alipotumbuiza katika sherehe za ufunguzi wa ukumbi mpya wa burudani wa Dar Live uliopo Mbagala, Dar es Salaam wiki iliyopita.

No comments:

Post a Comment