Monday, October 31, 2011
Salha aitangaza vema TZ katika Miss World
Mrembo wa Tanzania, Salha Israel (kushoto) akiwa na baadhi ya washiriki wenzake wa shindano
la kumsaka mrembo wa dunia, wakipita jukwaani na vazi la ufukweni. Shindano hilo limepangwa kufanyika wiki ijayo mjini London, Uingereza.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment