Monday, October 31, 2011

Salha aitangaza vema TZ katika Miss World

Mrembo wa Tanzania, Salha Israel (kushoto) akiwa na baadhi ya washiriki wenzake wa shindano

la kumsaka mrembo wa dunia, wakipita jukwaani na vazi la ufukweni. Shindano hilo limepangwa kufanyika wiki ijayo mjini London, Uingereza.

No comments:

Post a Comment