Saturday, October 8, 2011
Akina mama Kiabakari hawajalala
Akina mama wa Kiabakari wakiuza bidhaa kwa abiria waliokuwa wakisafiri kwa basi kutoka Mwanza kwenda Musoma. Biashara kubwa hapa ni ndizi, nyanya, vitunguu na zinginezo.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment