Wednesday, March 9, 2011

Soka si uadui



WACHEZAJI Juma Kaseja (juu kushoto) wa Simba na Shadrack Nsajigwa wa Yanga wakipongezana mara baada ya pambano kati ya timu hizo kumalizika mwishoni mwa wiki iliyopita.

PICHA nyingine chini inamuonyesha mshambuliaji Emmanuel Okwi wa Simba na Isaack Boakye wa Yanga wakipozi katika picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment