Thursday, February 10, 2011

Taifa Stars yaichakachua Palestina

MSHAMBULIAJI wa Taifa Stars, Mrisho Ngassa (kushoto) akijaribu kumtokabeki wa Palestina, Shadi Alisat wakati timu hizo zilipomenyana jana katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment