Sunday, February 13, 2011

HILI NI BAO LA MWAKA

Mshambuliaji Wayne Rooney akiifungia timu yake ya Manchester United bao la pili kwa njia ya tiktak jana wakati ilipomenyana na Manchester City na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1. Wachambuzi wengi wa masuala ya soka wamelielezea bao hili kuwa ni la mwaka.

No comments:

Post a Comment