Thursday, October 21, 2010

MIMI NI YANGA DAMU!


HIVI ndivyo anavyoelekea kusema Kocha Mkuu wa Yanga, Kostadin Papic wakati alipokuwa akiingia kwenye Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza kabla ya timu hiyo kumenyana na Simba katika mechi ya ligi kuu ya Tanzania Bara. Yanga ilishinda bao 1-0.

No comments:

Post a Comment