Friday, September 17, 2010
USHINDI MTAMU!
Wachezaji wa Yanga wakishangilia baada ya timu hiyo kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya AFC katika mechi ya ligi kuu ya Vodacom iliyochezwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment