Thursday, April 29, 2010

BOB RAMOZA NDANI YA DISCO DENMARK

BOB Ramoza (kushoto) akisakata muziki kwenye ukumbi wa Disco wa Huset uliopo mjini Copenhagen nchini Denmark mwaka 1989. Kwa kawaida, ukumbi huu huwa ukifurika vijana wengi wa Kiafrika na wanawake wa kizungu, ambao huenda hapo kutafuta mabwana weusi wenye sifa za nanihii....

No comments:

Post a Comment